Kwanini ni mgoni tu yupo uchi?Mwanamke kavaa nguo za heshima?
Haki ya faragha
na usalama wa
mtu
Sheria ya 1984
16.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na
unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na
mawasiliano yake ya binafsi.
(2) Kwa madhumuni ya kuhifadhi haki ya mtu kwa mujibu wa
ibara hii, Mamlaka ya Nchi itaweka utaratibu wa sheria kuhusu
hali, namna na kiasi ambacho haki ya mtu ya faragha na ya
usalama na nafsi yake, mali yake na maskani yake, yaweza
kuingiliwa bila ya kuathiri ibara hii
0 comments:
Post a Comment