Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts

KIFO CHA MFALME ABDULLAH: NI UKUMBUSHO TOSHA MALI SI LOLOTE MBELE YA MUNGU! KIFO CHA MFALME ABDULLAH: NI UKUMBUSHO TOSHA MALI SI LOLOTE MBELE YA MUNGU!

Aliyebebwa na kisha kulazwa hapa ni Mfalme Abdullah wa Saudia. Aliswaliwa na kuzikwa huko Riyadh mapema wiki hii. Kuna mengi tunajifunz...

Read more »
8:15 PM

MSHAURI WA RAIS UHURU: MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI MSHAURI WA RAIS UHURU: MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI

Baadhi ya miili ya abiria waliouawa jana na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya. Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera liki...

Read more »
8:03 AM

Tofauti kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Marais wengine wa Kenya Tofauti kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Marais wengine wa Kenya

Ripota wa TZA (millardayo.com na AyoTV) Kenya Julius Kepkoich anatiririka kwamba Uhuru Kenyatta ametajwa kama rais anayejitokeza kwa njia ya...

Read more »
12:09 PM

MWANDISHI MWINGINE 'ACHINJWA' MWANDISHI MWINGINE 'ACHINJWA'

Mwandishi aliyechinjwa na ISIS Steven Sotloff. Wapiganaji wa dola ya Kiislam ISIS wamesambaza picha za video katika mitandao kwa leng...

Read more »
1:05 PM

JUMBA LA BBA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO JUMBA LA BBA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO

JUMBA lililokuwa limeandaliwa kwa ajili ya washiriki wa shindano la Big Brother Africa (BBA) 2014 limeteketea kwa moto jana eneo la Sesani...

Read more »
1:02 PM

Waandamanaji wataka Nawaz Sharif ajiuzulu Waandamanaji wataka Nawaz Sharif ajiuzulu

Waandamanaji wanopinga serikali nje ya bunge la Pakistan, hawaonyeshi ishara yoyote ya kuondoka,hadi pale waziri mkuu Nawaz Sharif atakap...

Read more »
8:18 AM

Israel na Hamas waendelea na mapigano Israel na Hamas waendelea na mapigano

...

Read more »
8:17 AM

Waliokimbia zahanati ya ebola watafutwa Waliokimbia zahanati ya ebola watafutwa

Kituo kilichotengwa na kuwekewa karantini kwa sababu ya ebola, kimeshambuliwa na zana kuporwa katika mji mkuu wa Liberia, Monrovia. Watu...

Read more »
10:03 AM

Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola

Share on linkedin ...

Read more »
10:22 AM

Marekani kuendelea kuishambulia Iraq Marekani kuendelea kuishambulia Iraq

Wapiganaji wa Kurdi Marekani imeendeleza mashambulizi ya anga kaskazini mwa Iraq kwa lengo la kuwasaidia Wakrud katika mji wa Erbil dhi...

Read more »
8:28 AM

Madaktari watahadhalisha Ebola Madaktari watahadhalisha Ebola

Be the first to comment! ...

Read more »
8:26 AM

Wataalamu wahoji Afrika kutopewa dawa ya Ebola Wataalamu wahoji Afrika kutopewa dawa ya Ebola

        WATAALAMU wa masuala ya ebola, wamehoji ni kwa nini wafanyakazi wa afya wa Marekani, ndio tu wanaopewa dawa za...

Read more »
9:23 AM

Benki ya dunia yasaidia Ebola Benki ya dunia yasaidia Ebola

  Wahudumu wa afya katika tahadhari ya kukabiliana na Ebola Benki ya Dunia imetangaza kutoa msaada wa hadi dola milioni ...

Read more »
8:44 AM

Je Marekani ina nafasi gani barani Afrika? Je Marekani ina nafasi gani barani Afrika?

  Huku rais Barack Obama akiungana na takriban viongozi 50 kutoka nchi za Afrika katika mkutano wa kilele, mwanahabari wetu w...

Read more »
8:42 AM

MAREKANI YATENGENEZA AJIRA 209,000 MWEZI JULAI MAREKANI YATENGENEZA AJIRA 209,000 MWEZI JULAI

Wafanyakazi wanaotafuta ajira wakishiriki maonyesho ya ajira Serikali ya Marekani imetengeneza nafasi 209,000 za ajira kwa mwezi Julai pe...

Read more »
1:23 PM

HAMAS: HATUJATEKA MWANAJESHI YEYOTE HAMAS: HATUJATEKA MWANAJESHI YEYOTE

Mashambulizi ya Israel na Hamas katika ukanda wa Gaza Wapiganaji wa Palestina Hamas wamesema kuwa hawana habari kuhusu mwanajeshi wa Isra...

Read more »
1:21 PM

MAGARI MENGINE KUFIKA BONGO NI NDOTO MAGARI MENGINE KUFIKA BONGO NI NDOTO

...

Read more »
1:20 PM

VIDEO:Man city vs Liverpool ,Vitese vs Chelsea huyo costa na Fabregas utawapenda VIDEO:Man city vs Liverpool ,Vitese vs Chelsea huyo costa na Fabregas utawapenda

Shuhudia man city wakikosa penati, Jovetic mwache tuu. Liverpool bila Suarez inaweza? Diego costa afanya kufulu ahusika goli zote tatu Fa...

Read more »
1:12 PM

Kijiji chafunikwa na maporomoko,India Kijiji chafunikwa na maporomoko,India

    Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India,huku 20 wakithibitishwa kufariki dunia katika kiji...

Read more »
8:21 AM

+18 Wenzetu wanajua promo check Nick Minaj +18 Wenzetu wanajua promo check Nick Minaj

Ikifika tarehe tarehe 4 mwezi wa 8 mashabiki wote wa Nicki Minaj watafungua iTunes kununua wimbo mpya wa Nick Minaj unaitwa Anaconda. Lakin...

Read more »
4:06 PM
 
Top