Aliyekuwa mwenyekiti UVCCM mkoa wa Iringa Tumain Msowoya
******
MWENYEKITI
wa jumuiya ya umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa
Iringa mwanahabari Tumain Msowoya ametishia kujiuzulu nafasi yake hiyo
baada ya wajumbe wa baraza kuu la UVCCM mkoa kupinga uamuzi wake wa
kuchomoka ajenda ya kumteua mume wake kuziba nafasi tano ambazo anapaswa
kuteua kwa mujibu wa kanuni ya UVCCM.
0 comments:
Post a Comment