
MSHIRIKI wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Feza Kessy, amemtaka mshindi wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu kuachia ngazi kama kweli madai dhidi yake yanamgusa nafsi yake.
Sitti aliyeshinda taji hilo mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameibua mjadala mkubwa katika jamii, kufuatia madai kuwa alidanganya umri wake, kwani wakati akiwa ukumbini kujitambulisha, alidai kwamba ana umri wa miaka 18, ambao unapingwa na wadau wa kada mbalimbali.
0 comments:
Post a Comment