Real ambayo jana ilicheza bila mchezaji wake tegemeo Cristiano Ronaldo ambaye hayupo fiti ilianza mchezo kwa kasi na kuanza kupata magoli mawili ya kuongoza kupitia kwa Gareth Bale na Ramos lakini kibao kikawageukia na mpaka kufikia mapumziki matokeo yalikuwa 2-2.
Kipindi cha pili Real Sociedad walirudi kwa kasi na kufanikiwa kuongeza magoli mawili na mpaka mpira unakwisha walikuwa wameshinda 4-2 dhidi ya mabingwa wa ulaya.
Angalia magoli hapa…
0 comments:
Post a Comment